.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 16 Aprili 2015

ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA, FC PORTO YAISHANGAZA BAYERN MUNICH BAADA YA KUICHAPA 3-1

FC Porto ya Ureno imewashangaza vinara wa ligi kuu nchini Ujerumani, timu ya soka ya Bayern Munich baada ya kuwafunga jumla ya mabao 3-1 katika mchezo wa robo fainali wa ligi ya mabingwa barani Ulaya uliochezwa usiku wa kuamkia leo nchini Ureno.
Wakicheza nyumbani, Porto walijipatia bao la kwanza kwa mkwaju wa penati baada ya mlinda mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer kumuangusha katika eneo la hatari mshambuliaji Jackson Martinez, ambapo mwamuzi wa mchezo huo Carlos Velasco Carballo aliipa Porto penati iliyofungwa na Ricardo Quaresma.

Kwa matokeo hayo, Porto wamejiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo, kwani katika mchezo wa marudiano Allianz Arena, watatakiwa kutokubali kufungwa zaidi ya mabao 3-0, au walazimishe sare ya aina yeyote ile.







Hakuna maoni :

Chapisha Maoni