.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Aprili 2015

VITA YA UGAIDI KENYA YAFUNGA KAMPUNI 13 ZA KUHAMISHA FEDHA

Serikali ya Kenya imeagiza kufungwa kwa kampuni 13 za kuhamisha fedha ili kuzuia vikundi vya wapiganaji wa Kiislam kutotumia kutuma fedha za kufanya mashambulio ya kigaidi.

Waziri wa Mambo ya Ndani Joseph Nkaissery pia amesema Kenya imefunga akaunti za benki 86 za watu binafsi pamoja na mali zao kushikiliwa.

Hatua hizo zinaaminika kuilenga kampuni ya mabasi na hoteli inayodaiwa kuwa na uhusiano na kampuni ya nchini Somalia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni