.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 7 Aprili 2015

WATANZANIA WATAKIWA KUSAIDIA WATU WASIOJIWEZA KWENYE JAMII

Waziri Membe akizungumaza wakati wa ziara yake kituoni hapo. Kulia ni Mama Dorcas Membe. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda akifuatiwa na Padri Timoth Maganga wa Kanisa Katoliki la Kigogo Mburahati.

Padri Timoth Maganga wa Kanisa Katoliki la Kigogo Mburahati akitoa shukrani zake za pekee kwa Waziri Membe kutembelea kituoni hapo.


Msimamizi wa Nyumba ya Furaha na Amani, Sista Bakitha akiongea machache kumkaribisha Mhe. Membe mara baada ya kufika kituoni hapo akiambatana na mkewe Dorcas na familia yake kwa jumla kusherehekea Siku Kuu ya Pasaka pamoja na Watoto Yatima na Wazee wanaolelewa kwenye kituo cha Nyumba ya Furaha na Amani.

Mama Dorcas Membe akiwatuza watoto wa kituo hicho pesa wakati wakicheza kuwakaribisha kituoni hapo.
Watoto yatima wakiwa na walezi wao.

Akinamama walemavu na wasiojiweza wanaolelewa katika kituo hicho.


                                                  Waziri Membe akitoa msaada kwenye kituo hicho.


Waziri Membe pamoja na Mkewe Mama Dorcas Membe katika picha ya Pamoja na Masista wanaolea watoto yatima katika kituo hicho.

Waziri Membe akikata keki pamoja na Sista Bakitha kama ishara ya kusherehekea Siku Kuu ya Pasaka pamoja na Watoto Yatima na Wazee wanaolelewa kwenye kituo cha Nyumba ya Furaha na Amani. Pembeni ni Mama Dorcas Membe nae akifurahia.


Waziri Membe akilishwa keki na mmoja ya watoto wanaolelewa katika kituo.


                                                                  Waziri Membe akiwalisha keki watoto.


                                                         Mama Dorcas Membe akiwalisha watoto keki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni