.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 14 Aprili 2015

WATU 8 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUPIGWA NA RADI MKOANI KIGOMA

Watu wanane ( 8 ) wamefariki dunia na wengine 15 wamejeruhiwa baada ya kupigwa na radi katika eneo la Kipirizi katika manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma leo.

Taarifa kutoka mkoani humo zinasema kuwa majeruhi wamelazwa kwa matibabu katika hospitali ya mkoa ya Maweni, na baadhi yao tayari wameruhusiwa baada hali zao kuimarika. 

Mvua kubwa zilizonyesha leo katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Kigoma ziliambatana na radi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni