.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Aprili 2015

WATU WAWILI WAUWAWA SHAMBULIO LA CHUO KIKUU CHA GARISSA KENYA

Walinzi wawili wameuwawa na watu kadhaa kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kushambulia Chuo Kikuu cha Garissa leo alfajiri kaskazini mashariki mwa Kenya.

Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya limesema watu wapatao 30, wakiwemo maafisa polisi wawili wamekimbizwa hospitali baada ya kujeruhiwa na washambuliaji.

Watu hao wenye silaha inasemekana wameshambulia taasisi hiyo ya elimu leo majira ya saa 5:30 alfajiri.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni