.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Aprili 2015

MWANAMUZIKI MKONGWE BILLY OCEAN KUFANYA SHOO KAMPALA LEO

Mwanamuziki mkongwe wa RnB Billy Ocean raia wa Uingereza amewasili nchini Uganda tayari kwa ajili ya kufanya onyesho la muziki liitwalo Black Tie hii leo Jijini Kampala.

Mwanamuziki huyo pamoja na bendi yake ya watu 16, wamewasili jana na kupokelewa na wenyeji wao kutoka kampuni ya Master's Music.

Msanii huyo aliyejipatia umarufa kupitia ngoma za "Caribbean Queen" na "When The Going Gets Tough," ameahidi kutoa bonge la shoo usiku wa leo Jijini Kampala.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni