.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 22 Mei 2015

KARIBU TUKESHE PAMOJA KWA AJILI YA KUMUOMBEA BABA YETU MAREHEMU PROFESA MTATIFIKOLO


Shughuli itaanza saa kumi jioni nyumbani kwake Mbezi jirani na daraja la Lugalo - Tangi Bovu ambapo familia itapenda na inaomba ujumuike nasi katika chakula cha usiku na pia mkesha ambapo kutakua na matukio mbalimbali kwa ajili ya kumuenzi baba yetu. 

Kwa wale watakaoweza kukesha nasi asubuhi tutaamkia kanisani, na baada ya misa kutakua na kifungua kinywa nyumbani kwa Prof Mtatifikolo. 

Karibuni sana na tutashukuru kwa uwepo wako

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni