Kundi la al-Shabab
limetoa video inayotoa wito wa kufanywa mashambulizi ya katika nchi
za Uganda na Burundi.
Mataifa hayo mawili
yanakundi kubwa la wanajeshi wanaounda kikosi cha Umoja wa Afrika,
AMISOM kinachopambana na kundi la al Shabab nchini Somalia.
Kenya ambayo ni jirani
na Somalia, imekuwa ikikabiliwa na mashambulizi ya kigaidi
yanayofanywa na wapiganaji wa al-Shabab.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni