Jeshi la Nigeria
limetangaza hali ya hatari katika mji mkuu wa kaskazini-mashariki wa
Maiduguri baada ya kutokea shambulio la kushtukiza lililofanywa na
kundi la Boko Haram.
Barabara zimekuwa
hazina watu, masoko, shule na hospitali zimefungwa katika mji huyo
wenye wakazi wengi.
Jeshi limesema hatua
hiyo ya kuzuia watu kutoka nje imelenga kulinda maisha ya watu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni