.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 16 Mei 2015

MIILI YA WATU NANE IMEPATIKANA IKIWA KWENYE NDEGE YA KIJESHI YA MAREKANI ILIYOANGUKA

Miili ya watu nane imepatikana ikiwa kwenye ndege ya kijeshi ya Marekani iliyoanguka nchini Nepali, wakati ikiwa katika shughuli za kutoa misaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi.

Mabaki ya ndege hiyo yalipatikana Ijumaa asubuhi na wachunguzi wanahangaika kubaini chanzo cha ajali hiyo.

Wanajeshi wanne wa Marekani na wanajeshi wawili wa Nepali waliokuwa wakitoa misaada katika eneo linalopakana na China baada ya tetemeko lililotokea siku ya jumanne.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni