.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 7 Mei 2015

MWANAMKE MMOJA AMTEGA HADHARANI PRINCE HARRY NA KUMTAKA AMUOE

Mwanamke mmoja amemtia majaribuni Prince Harry, baada ya kumtaka amuoe hadharani na kujikuta akiambulia busu la mdomoni kutoka kwa mwana huyo wa familia ya kifalme ya Uingereza.

Mwanamke huyo Victoria McRae, 21, alikuwa ametinga gauni fupi akiwa na taji kichwani alimuomba Prince Harry amuoe jana nje ya jengo la Opera huko Sydney Opera.

Hata hivyo akiongea kwa upole Prince Harry alimuambi atamtafuta baadae waongee nae ndipo mwanamke huyo alipomuomba ambusu.
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni