.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 14 Mei 2015

NESI MMOJA UGANDA AKUTWA KATIKA MKAO WA MAHABA NA MGONJWA

Maafisa wa Mamlaka ya Dawa nchini Uganda wamepigwa na butwaa baada ya kumkuta muuguzi wa kike akiwa katika hali ya mahaba na mgonjwa wake kwenye chumba cha matibabu katika Zahanati moja wakati wakifanya ukaguzi wa kushtukiza.

Muuguzi huyo aliyefahamika kama Lillian Ntegeka, anayefanyakazi katika Zahanati ya All Saints Clinic katika mji wa Hoima, alikutwa katika hali hiyo akiwa na mwanaume aitwae Lee Wandera juu ya kitanda cha matibabu, ambapo baadae alidai kuwa ni mpenzi wake.

Maafisa wa Mamlaka ya Dawa wa Uganda walikasirishwa mno kwa kitendo hicho hawakusita kuifungia zahanati hiyo, pamoja na Zahanati zingine za mji wa Hoima zilizokuwa zinaendeshwa chini ya viwango vinavyokubalika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni