.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Mei 2015

POLISI 12 WACHUNGUZWA MALAYSIA KWA KUJIHUSISHA NA USAFIRISHAJI BINADAMU

Nchi ya Malaysia inachunguza polisi 12 wanaotuhumiwa kujihusisha na usafirishaji binadamu katika kambi zilizobainika katika maeneo ya kando kaskazini mwa nchi hiyo.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Wan Junaidi Tuanku Jaafar amesema wanne kati yao wamekamatwa katika uchunguzi unaofanywa na polisi wa Malaysia tangu mwaka jana .

Mamlaka zimesema makaburi 139, yamekutwa katika mpaka wa Malaysia na Thailand.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni