.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Mei 2015

TATIZO LA USALAMA LASHUSHA UMARUFU WA RAIS UHURU KENYATTA WA KENYA

Utafiti unaonyesha kuwa umarufu wa rais Uhuru Kenyatta wa Kenya umeshuka kutoka asilimia 67 kufikia Desemba mwaka jana hadi kufikia asilimia 48 mwezi uliopita.

Matokeo ya utafiti huo uliofanywa na kampuni ya Ipsos Ltd baina ya Machi 28 na Aprili 7, unaonyesha pia Naibu Rais William Ruto naye umaarufu wake umeshuka kutoka asilimia 63 hadi asilimia 35 kufikia mwezi uliopita.

Kinyume chake kukubalika kwa viongozi watatu wa muungano wa CORD Raila Odinga, Kalonzo Musyoka pamoja na Moses Wetang’ula, kumeongezeka kiasi katika kipindi kama hicho.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni