.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Mei 2015

JESHI LA NIGERIA LIMEWAFUKUZA KAZI WANAJESHI WAPATAO 200 AMBAO NI WAOGA

Jeshi la Nigeria limewafukuza kazi wanajeshi wapatao 200 ambao ni waoga na ambao wameshindwa kupambana na kundi la Boko Haram.

Baadhi ya wanajeshi wameliambia shirika la habari la BBC, kuwa wanajeshi wenye vyeo 4,500 na huenda wakafukuzwa kazi.

Vyanzo vya jeshi la Nigeria vimethibitisha kufukuzwa wanajeshi hao, lakini havikutoa idadi yao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni