.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Mei 2015

JIMBO LA MAREKANI NEBRASKA LIMEFUTA ADHABU YA KIFO BAADA YA WABUNGE KUPIGA KURA

Jimbo la Marekani Nebraska limefuta adhabu ya kifo baada ya wabunge kupiga kura ya turufu kupitisha sheria ya kuondoa adhabu hiyo.

Uamuzi huo umeoungwa mkono na muungano chama cha mrengo wa kulia ambao wanapinga adhabu ya kifo kama njia ya adhabu.

Jimbo la Nebraska linaungana na majimbo 18 pamoja na serikali za wilaya ya Washington DC, katika kupiga marufuku adhabu ya kifo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni