.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 22 Mei 2015

POLISI JIJINI WASHINGTON DC WANAFANYIWA MAFUNZO YA KUTUMIA VYOO VYA UMMA BILA KUSAHAU SILAHA

Maafisa wa polisi Jijini Washington DC wanafanyiwa mafunzo ya namna ya kutumia vyoo vya umma bila ya kusahau silaha zao vyooni.

Askari polisi katika Jiji hilo kuu la Marekani, wameacha kwa bahati mbaya bastola zao katika majengo ya vyoo vya umma mara tatu katika mwaka huu.

Moja ya bastola ya polisi iliyoachwa chooni ilikutwa na mtoto na tayari mamlaka za jeshi hilo zimewachukulia hatua maafisa hao kwa uzembe.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni