.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Mei 2015

POLISI WAMEWAKAMATA WATU WATATU BAADA YA GHASIA KUIBUKA KATIKA MCHEZO TIMU YA MANCHESTER UNITED

Polisi wamewakamata watu watatu baada ya ghasia kuibuka katika mchezo timu ya Manchester United ya wachezaji waliochini ya umri wa miaka 21 na wapinzania wao wakuu Manchester City katika dimba la Old Trafford jana usiku.

Mtu mzia mmoja na kijana walikamatwa kwa kushambuliana ambapo pia kijana mwingine alikamatwa kwa kuvaimia dimba, polisi wa Greater Manchester.

Polisi waliitwa na Manchester United, na sasa watachunguza tukio hilo na wameomba kupatiwa picha zilizorekodiwa kwa kutumia CCTV. Katika mchezo huo Man Utd ilishinda 4-0.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni