Waziri wa Ulinzi wa Korea Kaskazini
Hyon Yong-chol ameuwawa kwa kuonyesha kutokuwa mtiifu kwa kiongozi wa
taifa hilo Kim Jong-il, shirika la ujasusi la Korea Kusini
limeliambia bunge.
Wabunge wa Korea Kusini wameambiwa
Bw. Hyon aliuwawa Aprili 30, na kikosi cha mashambulizi ya anga mbele
ya mamia ya watu, shirika la habari la Yonhap limeripoti.
Tarifa hiyo imesema Bw. Hyon
alipitiwa na usingizi katika tukio alilokuwepo Kim Jong-un na
kushindwa kutekeleza majukumu yake. Kwa kawaida taarifa za Korea
Kaskazini si rahisi kuthibitishwa kwa uhuru.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni