.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Mei 2015

MAFURIKO YASABABISHA FOLENI KUBWA JIJINI NAIROBI

Mvua kubwa iliyonyesha jana jioni Jijini Nairobi nchini Kenya ilipelekea kusababisha foleni kubwa za magari kutokana na barabara nyingi za Jiji hilo kufurika maji.

Hali hiyo ilipelekea wananchi wa Kenya, kuingia katika mitandao ya jamii kulalamikia hali mbaya ya mifumo ya maji taka, iliyopelekea mafuriko katika barabara baada ya mvua kunyesha kwa muda wa saa mbili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni