.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 22 Mei 2015

RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZIZA ASAKATA SOKA WAKATI MAANDAMANO YAKIENDELEA



Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amepigwa picha akicheza soka, wakati maandamano ya kumpinga juu ya uamuzi wake wa kugombea urais katika muhula wa tatu yakiendelea.



Rais Nkurunziza alikuwa anacheza soka na rafiki zake wa karibu ikiwa ni sehemu ya mazoezi yake ya kila siku Jijini Bujumbura.
                                               Rais Nkurunziza akijipinda kupiga shuti mpira 
                                                              Hapa akituliza mpira gambani
                                  Rais Nkurunziza akionyesha uwezo wa kumiliki mpira

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni