Katika taarifa yake, Ferdinand ambaye kwasasa anichezea timu ya soka ya QPR amesema kuwa, mkewe kipenzi alifariki dunia ijumaa usiku akiwa hospitali ya Royal Marsden mjini London alikokuwa akipatiwa matibabu.
Wawili hao walifunga ndoa mwaka 2009 na kufanikiwa watoto watatu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni