Tetemeko kubwa la ardhi limeikumba
nchi ya Nepal, karibu na Mlima Everest, ikiwa ni wiki mbili tu kupita
tangu watu zaidi ya 8,000 kufa kutokana na tetemeko la ardhi.
Watu wapatao wanne wamekufa na idadi
ya watu wasiojulikana wamejeruhiwa kwa mujibu wa mashirika ya
misaada.
Tetemeko hilo la hivi karibuni
limetokea katika mji wa Namche, ambapo Idara ya Utafiti ya Jiolojia
ya Marekani imesema tetemeko hilo lilikuwa na ukubwa wa kipimo cha 7.3.
Wananchi wakiwa na nyuso za hofu baada ya tetemeko



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni