.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Mei 2015

WANANCHI WA BURUNDI WAMPA KIPIGO POLISI MWANAMKE ALIYEWAFYATULIA RISASI



Wananchi wenye hasira wamemuangushia kipigo askari polisi mwanamke anayedaiwa kuwafyatulia risasi raia wanaoandamana wasio na silaha.
                                                          Hapa wamembeba juu kwa juu 
                                            Kama haikutosha wakamburuza chini 
         Polisi huyo mwanamke akizuiliwa asipigwe nyuma ya mwenzake
                          Hata hivyo mwananchi mwingine akaamua kumpiga na sufuria kichwani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni