.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 24 Mei 2015

WANANCHI WA ETHIOPIA WANAPIGA KURA KUCHAGUA BUNGE JIPYA

Wananchi wa Ethiopia wanapiga kura kuchagua bunge jipya, ukiwa ni uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kufariki dunia kwa waziri mkuu aliyekaa madarakani kwa muda mrefu Meles Zenewi, mwaka 2012.

Bunge la sasa linambunge mmoja tu wa kambi ya upinzani, ambapo mrithi wa Zenawi, Hailemariam Desalegn akitarajiwa kuendelea kubaki madarakani.

Wapinzania pamoja na makundi ya kutetea haki za binadamu wameishutumu serikali kwa kutishia wapinzani madai ambayo yamekanushwa na serikali ya Ethiopia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni