Zaidi ya wahamiaji
haramu 700 kutoka Bangladesh na Myanmar wameokolewa kutoka kwenye
boti iliyozama katika Pwani ya Indonesia.
Taarifa zinaeleza kuwa
boti jingine limezuiwa kuingia Indonesia na kikosi cha majini cha
nchi hiyo.
Hatma ya boti nyingine
pamoja na wahamiaji haramu iliyobakia baharini katika pwani ya
Thailand haijajulikana.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni