BALOZI KAMALA ATEMBELEA IDHAA YA KISWAHILI YA RADIO DEUTSCHE WELLE
Mkuu wa Idara ya Kiswahili ya Radio Deutsche WELLE Bi. Andrea Schmidt akimshukuru Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya baada kubadilishana mawazo kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Jumuiya ya Ulaya ofisini kwake Bonn.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni