.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Juni 2015

CRISTIANO JUNIOR AELEKEA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKE CRISTIANO RONALDO


Cristiano Ronaldo huenda akajikuta hivi karibuni akikabiliwa na ushindani kutoka kwa mtoto wake wa kiume ambaye anajifua kujijengea uwezo wa kusakata soko.

Cristiano Junior alionekana akimuonyesha baba yake uwezo wake katika soka wakati wakiwa kwenye mapumziko katika fukwe za Bahama.
                                                                       Cristiano Junior akifanya vitu vyake
                                                                         Ronaldo akiwa ameshika mpira


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni