Nyota wa muziki wa Pop Rihanna
amemfunga mdomo bondia tajiri Floyd Mayweather ili kumdhibiti bondia
huyo mwenye fedha nyingi asichoge sana alipokuwa amekaa karibu yake
katika tuzo za BET.
Rihanna alichukua hatua hizo katika
kumzuia mfalme huyo wa ndondi kutobwabwaja sana wakati wa utoaji wa
tuzo hizo kwa kumfumba mdomo kwa kutumia plasta pana.
Rihanna akijiandaa kumdhibiti Mayweather
Unachonga sana haya sasa ongea tena
Mayweather akimshanga Rihanna baada ya kumfunga mdomo ambaye anaonekana kuuchuna
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni