.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 16 Juni 2015

GAVANA WA ZAMANI WA FLORIDA, JEB BUSH AZINDUA RASMI KAMPENI ZAKE ZA URAIS

Gavana wa zamani wa Florida, Jeb Bush amezindua rasmi kampeni zake za urais, huku akiahidi kuwa ataongoza kwa moyo, na kamwe hatuchukulia chochote ama mtu yeyote kwa wepesi.

Bw. Jeb ambaye ni mtoto wa kiume wa familia ya Bush ambaye pia ni ndugu wa marais wawili wa zamani wa familia hiyo ametoa kuali hiyo katika mji wa nyumbani kwao wa Miami, Florida.

Hata hivyo kura za maoni zinaonyesha kuwa Jeb Bush bado hajaweza kumudu kuwashinda wagombea wengi wa chama cha Republican.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni