Hospitali moja nchini Korea Kusini
imesitisha huduma zake zote, baada ya kubainia kuwa yenyewe ndio
chanzo cha karibu ya nusu ya maambukizi ya ugonjwa unaoshambulia
mfumo wa hewa (Mers).
Rais wa Kituo cha Tiba cha Samsung
katika Jiji la Seoul, ametoa tarifa ya kuomba radhi kwa umma hii leo
kuhusiana na tukio hilo.
Hadi sasa ugongwa huo wa Mers
umeshauwa watu 15, huku wengine 145 wakiripotiwa kuugua wakiwepo
wagonjwa wasaba wapya.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni