Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akipokea
Nakala ya Hati za Utambulisho kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) kutoka kwa
Balozi Mteule wa Qatar nchini Tanzania, Mhe. Abdullah Jassim Mohamed
Al Maadadi leo tarehe 17 Juni 2015.
Balozi Mulamula akiwa katika
mazungumzo na Balozi Al Maadadi mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha
Nakala za Hati za Utambulisho.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya
Mashariki ya Kati (wa kwanza kulia) Bw. Elibariki Maleko na Afisa
Mambo ya Nje Bwa. Batholomeo Jungu wakisikiliza kwa makini mazungumzo
yaliyokuwa yakiendelea kati ya Balozi Mulamula na Balozi Mteule Mhe.
Al Maadadi (hawapo pichani).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni