.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Juni 2015

KUNDI LA WATU LAKAMATWA TUNISIA KUFUATIA SHAMBULIO LA WATALII

Serikali ya Tunisia imelikamata kundi la watu kuhusiana na mauaji ya watu 38, wengi wao wakiwa ni watalii katika fukwe ya Sousse siku ya Ijumaa.

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia, Mohamed Gharsalli amesema kuwa kikosi cha askari
1, 000 sasa kitawekwa kulinda fukwe za nchi hiyo.

Mawaziri watatu wa Ulaya wameweka mashada ya maua katika eneo lililotokea la mashambulio hayo katika kuonyesha mshikamano dhidi ya vitendo vya kigaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni