.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Juni 2015

WATU WANANE WAJERUHIWA BAADA YA MTU KUJICHOMA MOTO NDANI YA TRENI

Watu wapatao nane wamejeruhiwa, wawili miongoni mwao wakijeruhiwa vibaya baada ya mwanaume mmoja kujichoma moto ndani ya treni ya mwendo kasi ya Shinkansen nchini Japan.

Msemaje wa Shirika la Reli la Japan amesema abiria huyo alijimwagia mafuta mwilini mwake na kisha kujichoma moto akiwa ndani ya treni hiyo.

Treni hiyo ilikuwa ikitokea Tokyo kwenda Osaka wakati tukio hilo la mtu kujichoma moto lilipotokea karibu na mji wa Odawara.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni