.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Juni 2015

LIONEL RICHIE AVUTA UMATI MKUBWA WA WATU KATIKA TAMASHA LA GLASTONBURY

Mwanamuziki Lionel Richie amevutia umati mkubwa wa watu katika tamasha la mwaka huu la Glastonbury, ambapo karibu watu 100,000 inasemekana wamemuangalia mwanamuziki huyo nguli duniani.

Jukwaa la Pyramid lililotumika kufanyika tamasha hilo lilivutia umati watu waliokuja kumuona Lionel Richie akitumbuiza vibao vyake vikali kama vile Dancing on the Ceiling, Hello pamoja na Say You Say Me.

Tamasha hilo la muziki lilifungwa na wakongwe wa muziki wa rock The Who ambao waliimba vibao vyao vikali katika jukwaa la Pyramid ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya mwisho ya kimuziki duniani. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni