.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Juni 2015

MFUNGWA ALIYETOROKA GEREZANI APIGWA RISASI NA KUKAMATWA MAREKANI

Maafisa wa Marekani wamesema mfungwa wa pili ambaye alitoroka gerezani katika jimbo la New York, David Sweat anashikiliwa na polisi baada ya kupigwa risasi.

Mfungwa huyo wa mauaji, alipigwa risasi mara mbili na kukamatwa katika umbali usiozidi kilomita 3, kutoka kwenye mpaka wa Canada.

Mfungwa menzake Richard Matt, 49, aliyetoroka nae aliuwawa na polisi Ijumaa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni