.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Juni 2015

MAYWEATHER JUNIOR ONYESHA VITO VYAKE VYA THAMANI HADHARANI

Bondia Floyd Mayweather Junior ameanika vito vyake vyenye thamani kubwa, aliposhiriki kucheza mpira wa kikapu kwa mastaa katika tamasha la muungano wa N.W.A Jijini Los Angeles.

Bondia huyo mashuhuri duniania ana fedha za kutosha zinazomuwezesha kufanya matanuzi ya aina yake, na hakuona uoga wa kuionyesha dunia vito vyake hivyo vya tamani.

Bondia Mayweather hivi karibuni alitajwa kuwa ni mwanamichezo anayelipwa fedha nyingi duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, baada ya kulipwa dola milioni 300 ndani ya miezi 12.
                                      Mwanamuziki Chris Brown akijaribu kufunga kikapu
                                                       Rapa Snoop Dogg akipongezana na Mayweather 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni