.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 17 Juni 2015

MAHAKAMA YA NCHINI MISRI IMEUNGA MKONO ADHABU YA KIFO KWA MOHAMMED MORSI

Mahakama ya nchini Misri imeunga mkono adhabu ya kifo iliyotolewa kwa rais aliyeng'olewa madarakani wa nchi hiyo Mohammed Morsi, kwa kosa la kusababisha kutoroka kwa wafungwa wengi.

Hukumu hiyo ilitolewa awali mwezi Mei, sasa imethibitishwa baada ya majadiliano na viongozi wa kidini wa juu wa Misri pamoja na Mufti Mkuu.

Hukumu ya kifo kwa viongozi wakuu wa chama cha Muslim Brotherhood, akiwemo kiongozi wao mkuu Mohammed Badie, pia nayo imeridhiwa kutekelezwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni