.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Juni 2015

MKUU WA VIKOSI VYA MAJESHI YA ULINZI KENYA AAHIDI KUWAFUTA MAGAIDI

Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Ulinzi nchini Kenya, Jenerali Samson Mwathethe, ameapa kuwafutilia mbali magaidi wote katika mipaka ya Kenya.

Jenerali Mwathethe ametoa ahadi hiyo jana mbele ya rais Uhuru Kenyatta, ambaye alienda kuwatembelea hospitali wanajeshi wanane, waliojeruhiwa katika tukio la uvamizi la Al-Shabaab kwenye kambi ya jeshi huko Lamu, siku ya jumapili.

Jenerali Mwathethe amemuambia Rais Kenyatta mashujaa wake licha ya kujeruhiwa wanania ya kurejea katika kambi hiyo tayari kwa vita hadi dakika ya mwisho ili kuhakikisha wananchi wa Kenya wapo salama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni