.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 9 Juni 2015

NCHI YA UGIRIKI YAWASILISHA MBADALA WA MPANGO KWA UMOJA WA ULAYA (EU)

Nchi ya Ugiriki imewasilisha mbadala wa mpango kwa Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF).

Hatua hiyo imekuja baada ya Waziri Mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras kukataa kufanya mabadiliko yaliyopendekezwa na rais wa tume ya Umoja wa Ulaya Jean Claude Juncker.

Umoja wa Ulaya na IMF zilitaka mabadiliko ya uchumi kabla ya kutoa fedha za kuikomboa kiuchumi Ugiriki kwa kiasi cha paundi bilioni 5.3.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni