.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 9 Juni 2015

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YA BURUNDI, IMEPENDEKEZA UCHAGUZI KUSOGEZWA MBELE

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Burundi, imependekeza uchaguzi wa rais kuhairishwa hadi Julai 15, baada ya maandamano ya wiki kadhaa kupinga rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu.

Tume hiyo pia inapendekeza kucheleweshwa uchaguzi wa wabunge uliopangwa kufanyika Juni 5 hadi Juni 26, mwaka huu.

Watu wapatao 40 wamekufa tangu mwishoni mwa mwezi Aprili, wakati chama tawala cha Burundi kilipomteua Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu, na kuibua maandamano na jaribio la mapinduzi lililoshindikana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni