.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Juni 2015

PAKISTANI YAFUNGA OFISI ZA SHIRIKA LA SAVE THE CHILDREN

Nchi ya Pakistani imeagiza shirika la kusaidia watoto la Save the Children kuondoka nchini, ambapo maafisa wa nchi hiyo wanalituhumu shirika hilo kwa kupingana na serikali ya Pakistani.

Polisi wamezingira ofisi za shirika hilo Jijini Islamabad na maafisa wa kigeni 15 wa Save the Children wamepewa siku 15 kuondoka nchini humo.

Hata hivyo Shirika la Save the Children limesema kuwa linapinga vikali uamuzi huo wa serikali ya Pakistani.

Awali Pakistan ilihusisha shirika hilo na programu feki ya chanjo iliyotumika na CIA katika kumnasa Osama Bin Laden.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni