.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Juni 2015

RAIS WA SUDAN OMAR AL BASHIR ATAPASWA KUKAA AFRIKA KUSINI HADI MAHAKAMA ITAKAPOAMUA

Mahakama ya Kuu ya Pretoria imesema rais wa Sudan Omar al Bashir atapaswa kukaa Afrika Kusini hadi itakapotoa uamuzi wake hii leo iwapo akabidhiwe katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).

Mahakama hiyo imetoa amri ya muda ya kumzuia rais al Bashir ambaye yupo Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini, kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Afrika (AU). Bashir anatuhumiwa kwa makosa ya uhalifu wakivita, maujaji ya kimbari katika machafuko ya Darfur.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni