.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Juni 2015

MGONJWA MWINGINE AMEFARIKI DUNIA NCHINI KOREA KUSINI KUFUATIA MLIPUKO WA MERS

Mgonjwa mwingine amefariki dunia nchini Korea Kusini kufuatia mlipuko wa ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa wa (Mers) na kufanya idadi ya waliokufa kufikia watu 16.

Maafisa pia wameripoti kuibuka kwa maambukizi mapya matano Korea Kusini, ambayo inamlipuko mkubwa wa ugonjwa huo katika nchi za Mashariki ya Kati.

Maafisa wa Korea Kusini wamesema kuwa idadi ya watu 150, wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo.

Wakati huo huo raia wa Korea Kusini aliyepo Slovakia amebainika kuwa hana virusi, lakini ataendelea kuwa chini ya karantini kwa ajili ya vipimo zaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni