Mpiganaji wa kiislam ambaye aliagiza
kufanyika shambulio baya katika mtambo wa gesi wa Algeria miaka
miwili iliyopita ameuwawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani
nchini Libya.
Kiongozi huyo Mokhtar Belmokhtar
pamoja na wapiganaji wengine wameuwawa katika mashambulizi ya anga
katika mji wa mashariki wa Ajdabiya, taarifa ya serikali ya Libya
imesema.
Makao Makuu ya Idara ya Ulinzi ya
Marekani Pentagon imeelezea shambulio hilo kuwa ni lenya mafanikio na
maafisa kwa sasa wanatathimini matokeo yake.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni