Serikali ya Kenya imezuia udahili wa
wanafunzi wa kigeni kwenda kusoma katika kaunti ya Mandera ambayo
imekuwa haina usalama, kutokana na mashambuzili ya al-Shabaab.
Wizara ya Elimu ametoa tangazo hilo
leo linalosema kuwa serikali haita dahili wanafunzi kutoka nchi
jirani ya Somalia iliyokwenye machafuko ama wanafunzi kutoka kaunti
nyingine za Kenya.
Akiongea na vyombo vya habari hii
leo, Mkurugenzi wa Elimu katika kaunti ya Mandera Ismael Barrow amesema marufuku hiyo
imetolewa na makao makuu ya wizara.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni