.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Juni 2015

WATU TISA WAMEUWAWA KATIKA TUKIO LA KUTUMIA RISASI KWENYE KANISA MAREKANI

Watu tisa wameuwawa katika tukio la kutumia risasi kwenye kanisa la kihistoria la Wamarekani wenye asili ya Afrika huko Charleston katika jimbo Marekani la South Carolina.

Mkuu wa polisi wa mji huo Gregory Mullen amesema watu hao nane wameuwawa wakiwa ndani ya kanisa la Emanuel African Methodist Episcopal jumatano jioni, ambapo mtu mmoja mwingine alifariki

Mauaji hayo yameelezwa kuwa yanatokana na chuki za kibaguzi na polisi wametoa picha za muhusika kijana mweupe zilizorekodiwa na kamera za usalama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni