.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Juni 2015

ZIMBABWE IMEAMUA KUONDOA KABISA KATIKA MZUNGUKO FEDHA YA NCHI HIYO

Nchi za Zimbabwe imeamua kuondoa kabisa katika mzunguko fedha ya nchi hiyo, ili kutumia fedha za kigeni tu, mfumo ambao ulianza kutumika tangu kukumbwa na mfumuko wa bei usio wa kawaida.

Zimbabwe ilikumbwa na mfumuko mkubwa wa bei miaka sita iliyopita, na kulazimika kuanza kutumia fedha za kigeni kama dola ya Marekani pamoja na randi ya Afrika Kusini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni