.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Juni 2015

MWANAUME ALIYEPANDIKIZWA UUME AFRIKA KUSINI KUWA BABA

Mwanaume wa kwanza kupandikizwa uume duniani raia wa Afrika Kusini anatarajia kuwa baba, madaktari waliomfanyia upasuaji wamevieleza vyombo vya habari.

Daktari Andre van der Merwe amesema rafiki wake wa kike imeripotiwa kuwa ni mjamzito wa miezi minne, hali inayoashiria upandikizaji huo uume kwa njia ya upasuaji umefanikiwa.

Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 21, ambaye jina lake limehifadhiwa alipoteza uume wake wakati alipokatwa kimakosa wakati akifanyiwa tohara.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni