.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Julai 2015

BILIONEA WA SAUDI ARABIA PRINCE AWALEED BIN TALAL KUTOA MSAADA WA DOLA BILIONI 32

Bilionea wa Saudi Arabia Prince Awaleed bin Talal amesema atachangia dola bilioni 32 kwa taasisi za misaada.

Mwana huyo wa familia ya kifalme ambaye ni miongoni mwa matajiri wakubwa kabisa duniani, amesema amevutiwa kufanya hivyo na taasisi ya Gates Foundation, ya Bilionea Bill na Melinda Gates.

Prince Awaleed amesema fedha atakazotoa zitatumiwa kuchochea ufahamu tamaduni mbalimbali, kuwawezesha wanawake, kutoa misaada kwa waathirika wa majanga pamoja na mambo mengine.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni